Swali: Mbwa ikiramba kwenye nguo au ikagusa mwili inaunajisi na ni wajibu kupaosha mara saba?
Jibu: Ni vipi mbwa itaramba nguo? Mbwa inaramba chombo na sio nguo. Mbwa ikiwa na majimaji inanajisi kile inachokigusa. Lakini ikiwa haiko kavukavu hainajisi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (70) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighatsah%20-%2019%20-0%207%20-%201438.mp3
- Imechapishwa: 10/09/2017
Swali: Mbwa ikiramba kwenye nguo au ikagusa mwili inaunajisi na ni wajibu kupaosha mara saba?
Jibu: Ni vipi mbwa itaramba nguo? Mbwa inaramba chombo na sio nguo. Mbwa ikiwa na majimaji inanajisi kile inachokigusa. Lakini ikiwa haiko kavukavu hainajisi.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (70) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighatsah%20-%2019%20-0%207%20-%201438.mp3
Imechapishwa: 10/09/2017
https://firqatunnajia.com/mbwa-kavukavu-inapogusa-chombo/