Swali: Inajuzu kujitikisa kidogo na huku imamu yuko anakhutubu kama mtu kuchukua leso mbele yake?
Jibu: Haijuzu kufanya hivo. Kuchukua leso sio dharurah. Asiichukue. Wala asichukue Miswaak wala bakora kutoka katika ardhi. Hii sio dharurah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (13) http://alfawzan.af.org.sa/sites/de
- Imechapishwa: 30/09/2017
Swali: Inajuzu kujitikisa kidogo na huku imamu yuko anakhutubu kama mtu kuchukua leso mbele yake?
Jibu: Haijuzu kufanya hivo. Kuchukua leso sio dharurah. Asiichukue. Wala asichukue Miswaak wala bakora kutoka katika ardhi. Hii sio dharurah.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (13) http://alfawzan.af.org.sa/sites/de
Imechapishwa: 30/09/2017
https://firqatunnajia.com/matendo-madogo-madogo-wakati-imamu-anakhutubu/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket