120 – Nilimuuliza Shaykh wetu kuhusu matapishi ya watoto wadogo?
Jibu: Baadhi ya wanazuoni wamesema kuwa ni kama mkojo wake, ikiwa hajaanza kula chakula basi inatosha kunyunyizia maji, lakini ikiwa ameshaanza kula chakula basi ni lazima kuyaosha.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 62
- Imechapishwa: 18/03/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
120 – Nilimuuliza Shaykh wetu kuhusu matapishi ya watoto wadogo?
Jibu: Baadhi ya wanazuoni wamesema kuwa ni kama mkojo wake, ikiwa hajaanza kula chakula basi inatosha kunyunyizia maji, lakini ikiwa ameshaanza kula chakula basi ni lazima kuyaosha.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 62
Imechapishwa: 18/03/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/matapishi-ya-mtoto-mdogo/