Swali: Je, nimwache mtoto wangu katika mizunguko ya kuhifadhi Qur-aan kwanza ili ajifunze Qur-aan au nije naye hapa ajifunze ´Aqiydah na hukumu?
Jibu: Kusanya kati ya yote mawili. Mpeleke katika mizunguko ya kuhifadhi Qur-aan baadhi ya nyakati na mwache ahudhurie darsa zenye manufaa na faida katika baadhi ya nyakati zengine. Wakati ni mpana.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (81) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-16-2-1439-01.mp3
- Imechapishwa: 11/02/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)