Swali: Mtumzima ambaye wakati fulani anakuwa na fahamu na wakati mwingine anapotolewa na fahamu. Je, ni lazima kumtolea kafara ya siku zilizompita za Ramadhaan?
Jibu: Siku ambayo kumbukumbu yake imemrudi anapaswa kufunga na siku ambayo kumbukumbu yake imempotea anatakiwa kutolewa chakula.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (18) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdtfq-15011435-01.mp3
- Imechapishwa: 19/11/2019
Swali: Mtumzima ambaye wakati fulani anakuwa na fahamu na wakati mwingine anapotolewa na fahamu. Je, ni lazima kumtolea kafara ya siku zilizompita za Ramadhaan?
Jibu: Siku ambayo kumbukumbu yake imemrudi anapaswa kufunga na siku ambayo kumbukumbu yake imempotea anatakiwa kutolewa chakula.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (18) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdtfq-15011435-01.mp3
Imechapishwa: 19/11/2019
https://firqatunnajia.com/mara-fahamu-zinamjia-na-mara-zinampotea/