Swali: Mapenzi ya kumpenda mama na mke yakigongana kunatakiwa kutangulizwa mapenzi ya kumpenda mama kwa sababu ndio mapenzi yaliyowekwa katika Shari´ah?
Jibu: Mapenzi ya kumpenda mama ndio yanatakiwa kutangulizwa kabla ya mapenzi ya kumpenda mke. Kwa sababu yeye ana haki zaidi ya kupendwa, kutendewa wema.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (72) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighassat%20-11-01-1439h.mp3
- Imechapishwa: 16/12/2017
Swali: Mapenzi ya kumpenda mama na mke yakigongana kunatakiwa kutangulizwa mapenzi ya kumpenda mama kwa sababu ndio mapenzi yaliyowekwa katika Shari´ah?
Jibu: Mapenzi ya kumpenda mama ndio yanatakiwa kutangulizwa kabla ya mapenzi ya kumpenda mke. Kwa sababu yeye ana haki zaidi ya kupendwa, kutendewa wema.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (72) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighassat%20-11-01-1439h.mp3
Imechapishwa: 16/12/2017
https://firqatunnajia.com/mapenzi-ya-kumpenda-mama-na-mke/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket