Swali 64: Vipi kuhusu mtu ambaye Allaah na Mtume wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) si wenye kupendwa zaidi kwake?
Jibu: Mwenye kupendelea uzinifu na wizi, lakini hakuna anayempenda zaidi kuliko Allaah na Mtume wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), basi huyo si kafiri. Hata hivyo ikiwa anawapenda wasiokuwa wawili hao mapenzi ya ´ibaadah, amekufuru na kufanya shirki. Mapenzi aina hiyo yamemwingiza ndani ya shirki, kama ilivyo hali ya waabudu makaburi.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 45
- Imechapishwa: 08/08/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 64: Vipi kuhusu mtu ambaye Allaah na Mtume wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) si wenye kupendwa zaidi kwake?
Jibu: Mwenye kupendelea uzinifu na wizi, lakini hakuna anayempenda zaidi kuliko Allaah na Mtume wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), basi huyo si kafiri. Hata hivyo ikiwa anawapenda wasiokuwa wawili hao mapenzi ya ´ibaadah, amekufuru na kufanya shirki. Mapenzi aina hiyo yamemwingiza ndani ya shirki, kama ilivyo hali ya waabudu makaburi.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 45
Imechapishwa: 08/08/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/mapenzi-ya-asiyekuwa-allaah-na-mtume-yanayopelekea-katika-shirki/