Swali: Mtu akipitwa na swalah na akamuwahi imamu katika Tashahhud kabla ya kutoa salamu – je, anahesabika amewahi swalah ya mkusanyiko au hapana?
Jibu: Maoni ya sawa ni kwamba mtu hawahi swalah ya mkusanyiko isipokuwa pale atakapowahi Rak´ah moja.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (11) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191491#219817
- Imechapishwa: 12/07/2019
Swali: Mtu akipitwa na swalah na akamuwahi imamu katika Tashahhud kabla ya kutoa salamu – je, anahesabika amewahi swalah ya mkusanyiko au hapana?
Jibu: Maoni ya sawa ni kwamba mtu hawahi swalah ya mkusanyiko isipokuwa pale atakapowahi Rak´ah moja.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (11) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191491#219817
Imechapishwa: 12/07/2019
https://firqatunnajia.com/maoni-ya-sawa-kuhusu-ni-lini-mtu-anahesabika-amewahi-swalah-ya-mkusanyiko/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket