Swali: Mtu akiacha kitendo cha wajibu cha hajj ni lazima achinje kondoo wawili?
Jibu: Ndio. Kila kimoja ni chenye kujitegemea. Kwa mfano mtu ameacha kurusha vijiwe mpaka ukaisha wakati wake na akaacha kulala Minaa katika masiku ya Tashriyq, kila kitendo cha wajibu kina fidia yake.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (22) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdatul-26-3-1435.mp3
- Imechapishwa: 19/03/2020
Swali: Mtu akiacha kitendo cha wajibu cha hajj ni lazima achinje kondoo wawili?
Jibu: Ndio. Kila kimoja ni chenye kujitegemea. Kwa mfano mtu ameacha kurusha vijiwe mpaka ukaisha wakati wake na akaacha kulala Minaa katika masiku ya Tashriyq, kila kitendo cha wajibu kina fidia yake.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (22) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdatul-26-3-1435.mp3
Imechapishwa: 19/03/2020
https://firqatunnajia.com/mambo-mawili-ya-wajibu-fidia-mbili/