Swali: Mtu akiacha kitendo cha wajibu cha hajj ni lazima achinje kondoo wawili?
Jibu: Ndio. Kila kimoja ni chenye kujitegemea. Kwa mfano mtu ameacha kurusha vijiwe mpaka ukaisha wakati wake na akaacha kulala Minaa katika masiku ya Tashriyq, kila kitendo cha wajibu kina fidia yake.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (22) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdatul-26-3-1435.mp3
- Imechapishwa: 19/03/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)