Ikiwa mali imekufikia kwa njia inayokubalika kwa mujibu wa Shari´ah, basi ichukue wala usiikatae. Ukipenda uitumie kwa ajili yako mwenyewe, au ukapenda uitoe kama swadaqah au uitumie katika mradi wa kheri, yote hayo yanafaa. Lakini ikiwa mali hiyo imekujia kwa njia isiyokubalika katika Shari´ah, kama kupitia rushwa, wizi au kuwadhulumu watu, basi usiipokee na wala usisaidie katika kumuasi Allaah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/2209/شرح-حديث-وما-جاءك-من-هذا-المال-وانت-غير-مشرف
- Imechapishwa: 03/01/2026
Ikiwa mali imekufikia kwa njia inayokubalika kwa mujibu wa Shari´ah, basi ichukue wala usiikatae. Ukipenda uitumie kwa ajili yako mwenyewe, au ukapenda uitoe kama swadaqah au uitumie katika mradi wa kheri, yote hayo yanafaa. Lakini ikiwa mali hiyo imekujia kwa njia isiyokubalika katika Shari´ah, kama kupitia rushwa, wizi au kuwadhulumu watu, basi usiipokee na wala usisaidie katika kumuasi Allaah.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/2209/شرح-حديث-وما-جاءك-من-هذا-المال-وانت-غير-مشرف
Imechapishwa: 03/01/2026
https://firqatunnajia.com/mali-unayotakiwa-kuikubali-na-kuikataa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket