Swali 23: Shaykh amethibitisha kuwa wazazi wa Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam) walifikiwa na ulinganizi. Muulizaji mmoja akamuuliza: “Hakika mambo yalivyo ni kwamba alisema: ”Baba yako na baba yangu wako Motoni” ili tu kuufariji moyo wa mbedui yule.
Jibu: Shaykh wetu akasema hali ya kuwa amekasirika: Je, moyo wake utafarijika kwa kuadhibiwa kwa baba yake?
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 35
- Imechapishwa: 25/07/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 23: Shaykh amethibitisha kuwa wazazi wa Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam) walifikiwa na ulinganizi. Muulizaji mmoja akamuuliza: “Hakika mambo yalivyo ni kwamba alisema: ”Baba yako na baba yangu wako Motoni” ili tu kuufariji moyo wa mbedui yule.
Jibu: Shaykh wetu akasema hali ya kuwa amekasirika: Je, moyo wake utafarijika kwa kuadhibiwa kwa baba yake?
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 35
Imechapishwa: 25/07/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/malengo-ilikuwa-tu-kumfariji-mbedui/