Swali: Je, tunaweza kusema kwamba nyumba ambayo iko na kifaa cha dishi/king´amuzi du´aa haikubaliwi na Malaika hawaingii ndani yake?
Jibu: Inakhofiwa wakazuiliwa Malaika kuingia ndani ikiwa ndani yake kuna king´amuzi kinachoeneza maovu na maharibifu. Hapana shaka kwamba Malaika ni wenye kukimbia mambo hayo.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (20)
- Imechapishwa: 02/07/2021
Swali: Je, tunaweza kusema kwamba nyumba ambayo iko na kifaa cha dishi/king´amuzi du´aa haikubaliwi na Malaika hawaingii ndani yake?
Jibu: Inakhofiwa wakazuiliwa Malaika kuingia ndani ikiwa ndani yake kuna king´amuzi kinachoeneza maovu na maharibifu. Hapana shaka kwamba Malaika ni wenye kukimbia mambo hayo.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (20)
Imechapishwa: 02/07/2021
https://firqatunnajia.com/malaika-wanajiepusha-kuingia-nyumba-kama-hizi/