Swali: Ni sawa kwa mtu kupenyeza kati ya safu mbali na siku ya ijumaa?
Jibu: Si sahihi kupenyeza kati ya safu. Ni mamoja siku ya ijumaa au siku nyenginezo. Ni maudhi. Isipokuwa kukiwa upenyo ndio mtu anatakiwa kuuziba. Wale ambao hawakuziba upenyo huu ndio ambao wameacha kufanya hivo. Kwa hivyo inakuwa ni dharurah ya kuuziba.adabu
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (07) http://dl.islamweb.net/audiopath/audio/lecturs/aalrrajhee/434/434.mp3
- Imechapishwa: 22/12/2018
Swali: Ni sawa kwa mtu kupenyeza kati ya safu mbali na siku ya ijumaa?
Jibu: Si sahihi kupenyeza kati ya safu. Ni mamoja siku ya ijumaa au siku nyenginezo. Ni maudhi. Isipokuwa kukiwa upenyo ndio mtu anatakiwa kuuziba. Wale ambao hawakuziba upenyo huu ndio ambao wameacha kufanya hivo. Kwa hivyo inakuwa ni dharurah ya kuuziba.adabu
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (07) http://dl.islamweb.net/audiopath/audio/lecturs/aalrrajhee/434/434.mp3
Imechapishwa: 22/12/2018
https://firqatunnajia.com/makatazo-ya-kujipenyeza-kati-ya-watu-ili-kwenda-safu-za-mbele/