Swali: Tulitoka kundi kwenda porini ambapo tukakaa karibu na kidimbwi cha maji na maji yalikuwa yamechanganyika na matope na baadhi ya majani. Je, inajuzu kutawadha kwa maji hayo kwa ajili ya swalah?
Jibu: Inajuzu kutawadha kwa maji kama hayo, kuoga kwa maji hayo na hata kunywa maji hayo, kwa sababu bado yana jina lake la ´maji`. Hivyo ni maji masafi. Yale yaliyoyachanganyika nayo kama udongo na majani hayaliondoi sifa yake ya kuwa ni masafi.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (10/17)
- Imechapishwa: 19/02/2026
Swali: Tulitoka kundi kwenda porini ambapo tukakaa karibu na kidimbwi cha maji na maji yalikuwa yamechanganyika na matope na baadhi ya majani. Je, inajuzu kutawadha kwa maji hayo kwa ajili ya swalah?
Jibu: Inajuzu kutawadha kwa maji kama hayo, kuoga kwa maji hayo na hata kunywa maji hayo, kwa sababu bado yana jina lake la ´maji`. Hivyo ni maji masafi. Yale yaliyoyachanganyika nayo kama udongo na majani hayaliondoi sifa yake ya kuwa ni masafi.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (10/17)
Imechapishwa: 19/02/2026
https://firqatunnajia.com/maji-ya-kidinbwi-ambayo-yanachanganyika-na-majani/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket