Swali: Adhkaar zinazosemwa baada ya swalah, je, huzisema yule anayekusanya swalah mbili baada ya swalah ya kwanza na ya pili?
Jibu: Atasoma kile kinachomwepesikia baada ya swalah ya kwanza, na pia atasema Adhkaar hizo baada ya swalah ya pili.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (30/194)
- Imechapishwa: 10/03/2026
Swali: Adhkaar zinazosemwa baada ya swalah, je, huzisema yule anayekusanya swalah mbili baada ya swalah ya kwanza na ya pili?
Jibu: Atasoma kile kinachomwepesikia baada ya swalah ya kwanza, na pia atasema Adhkaar hizo baada ya swalah ya pili.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (30/194)
Imechapishwa: 10/03/2026
https://firqatunnajia.com/lini-ataleta-adhkaar-yule-aliyekusanya-baina-ya-swalah-mbili/