Swali 644: Vipi katika kafara ya yamini ikiwa mtu atawalisha watu watano chakula mara mbili?
Jibu: Hapana haisihi. Ni lazima wawe kumi.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 226
- Imechapishwa: 18/06/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 644: Vipi katika kafara ya yamini ikiwa mtu atawalisha watu watano chakula mara mbili?
Jibu: Hapana haisihi. Ni lazima wawe kumi.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 226
Imechapishwa: 18/06/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/lazima-wawe-10/