Swali: Muulizaji kutoka Amerika, katika miji ya kimagharibi kuna matatizo mengi baina ya mume na mke, mfano wa hilo kuna mtu alimuhama mke wake kwa sababu ya kutomtii?
Jibu: Matatizo ya watu hayatotatulika isipokuwa kwa Uislamu. Watu wakishikamana na Uislamu watapata suluhu ya matatizo yao. Hakuna suluhu isipokuwa ni Uislamu. Kuhusiana na waislamu tunawanasihi warejee kwa wanachuoni katika kutatua masuala mbali mbali mpaka hapo matatizo yao yatatatulika kwa idhini ya Allaah.
- Mhusika: ´Allaamah Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab al-Wasswaabiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.olamayemen.net/Default_ar.aspx?ID=556
- Imechapishwa: 22/09/2020
Swali: Muulizaji kutoka Amerika, katika miji ya kimagharibi kuna matatizo mengi baina ya mume na mke, mfano wa hilo kuna mtu alimuhama mke wake kwa sababu ya kutomtii?
Jibu: Matatizo ya watu hayatotatulika isipokuwa kwa Uislamu. Watu wakishikamana na Uislamu watapata suluhu ya matatizo yao. Hakuna suluhu isipokuwa ni Uislamu. Kuhusiana na waislamu tunawanasihi warejee kwa wanachuoni katika kutatua masuala mbali mbali mpaka hapo matatizo yao yatatatulika kwa idhini ya Allaah.
Mhusika: ´Allaamah Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab al-Wasswaabiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.olamayemen.net/Default_ar.aspx?ID=556
Imechapishwa: 22/09/2020
https://firqatunnajia.com/kwanini-ndoa-nyingi-za-ulaya-zina-matatizo-na-zinavunjika/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)