Swali: Mwenye kukanusha baadhi ya Sifa au akazipigia mfano anakufuru?
Jibu: Akikanusha Sifa pasina kufuata kichwa mchunga (Taqliyd), ikiwa anawafuata wengine kichwa mchunga na huku anafikiria kuwa hili ndio sahihi, huu ni upotevu lakini hata hivyo hakufurishwi. Anapewa udhuru kwa kufuata kichwa mchunga na ujinga wake. Ama ikiwa ni mwenye kukusudia hilo na huku anajua kuwa hili sio sahihi, lakini akashikamana nalo na kulingania kwalo, huyu anakufuru.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (03) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_03.mp3
- Imechapishwa: 31/05/2015
Swali: Mwenye kukanusha baadhi ya Sifa au akazipigia mfano anakufuru?
Jibu: Akikanusha Sifa pasina kufuata kichwa mchunga (Taqliyd), ikiwa anawafuata wengine kichwa mchunga na huku anafikiria kuwa hili ndio sahihi, huu ni upotevu lakini hata hivyo hakufurishwi. Anapewa udhuru kwa kufuata kichwa mchunga na ujinga wake. Ama ikiwa ni mwenye kukusudia hilo na huku anajua kuwa hili sio sahihi, lakini akashikamana nalo na kulingania kwalo, huyu anakufuru.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (03) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_03.mp3
Imechapishwa: 31/05/2015
https://firqatunnajia.com/kwanini-asikufurishwe-mwenye-kulinganisha-sifa-za-allaah__trashed/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)