Swali: Je, anayepinga adhabu ya kaburi anakuwa kafiri anayetakiwa kutubia?
Jibu: Anatakiwa kutubia. Akitubia ni sawa. Vinginevyo anauliwa, kwa sababu amemkadhibisha Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Kama ni mjinga afunzwe. Aking´ang´ania anakufuru kwa kitendo hicho.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31379/ما-حكم-من-ينكر-عذاب-القبر
- Imechapishwa: 23/10/2025
Swali: Je, anayepinga adhabu ya kaburi anakuwa kafiri anayetakiwa kutubia?
Jibu: Anatakiwa kutubia. Akitubia ni sawa. Vinginevyo anauliwa, kwa sababu amemkadhibisha Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Kama ni mjinga afunzwe. Aking´ang´ania anakufuru kwa kitendo hicho.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31379/ما-حكم-من-ينكر-عذاب-القبر
Imechapishwa: 23/10/2025
https://firqatunnajia.com/kwanini-asikufurishwe-anayepinga-adhabu-ya-kaburi/