Swali: Je, imeshurutishwa kwa ambaye yuko na ndevu kidogo kufikisha maji kwenye maoteo ya nywele?
Jibu: Inatosha kupitisha maji juu yake. Kumepokelewa Hadiyth Swahiyh zinazojulisha juu ya hilo. Akizichambua ndio bora. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliyafanya yote mawili.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (10/99)
- Imechapishwa: 13/08/2021
Swali: Je, imeshurutishwa kwa ambaye yuko na ndevu kidogo kufikisha maji kwenye maoteo ya nywele?
Jibu: Inatosha kupitisha maji juu yake. Kumepokelewa Hadiyth Swahiyh zinazojulisha juu ya hilo. Akizichambua ndio bora. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliyafanya yote mawili.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (10/99)
Imechapishwa: 13/08/2021
https://firqatunnajia.com/kuzichambua-ndevu/