Swali: Ikiwa jamaa zake, kwa mfano,  wako na king´amuzi/dishi, anaweza kuwatembelea kisha akaondoka zake?

Jibu: Anapaswa kuwatembelea na kuwashauri kuhusu king´amuzi/dishi na madhambi mengine. Wakikataa na kung’ang’ania batili yao na kuidhihirisha, basi watastahiki kususwa.

Swali: Je, awazuru kwanza bila kuwasusa?

Jibu: Hapana, awanasihi.

  • Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/29295/حكم-زيارة-الاقارب-الذين-عندهم-منكرات
  • Imechapishwa: 01/06/2025