Swali: Je, inajuzu kuwasifu Ahl-ul-Kitaab wote kwamba ni watu waaminifu kutokana na Kauli Yake (Ta´ala):
وَمِنْ أَهْلِ الْكِتَابِ مَنْ إِن تَأْمَنْهُ بِقِنطَارٍ يُؤَدِّهِ إِلَيْكَ
“Katika Ahl-ul-Kitaab yuko ambaye ukimpa amana ya mrundi atakurejeshea”? (03:75)
Jibu: Ujumla huu umeutoa wapi? Aayah hii inahusiana na Ahl-ul-Kitaab maalum na si wote:
وَمِنْ أَهْلِ الْكِتَابِ
“Katika Ahl-ul-Kitaab… ”
Bi maana baadhi ya Ahl-ul-Kitaab. Wewe soma matamshi ya Aayah tu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13965
- Imechapishwa: 13/04/2018
Swali: Je, inajuzu kuwasifu Ahl-ul-Kitaab wote kwamba ni watu waaminifu kutokana na Kauli Yake (Ta´ala):
وَمِنْ أَهْلِ الْكِتَابِ مَنْ إِن تَأْمَنْهُ بِقِنطَارٍ يُؤَدِّهِ إِلَيْكَ
“Katika Ahl-ul-Kitaab yuko ambaye ukimpa amana ya mrundi atakurejeshea”? (03:75)
Jibu: Ujumla huu umeutoa wapi? Aayah hii inahusiana na Ahl-ul-Kitaab maalum na si wote:
وَمِنْ أَهْلِ الْكِتَابِ
“Katika Ahl-ul-Kitaab… ”
Bi maana baadhi ya Ahl-ul-Kitaab. Wewe soma matamshi ya Aayah tu.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13965
Imechapishwa: 13/04/2018
https://firqatunnajia.com/kuwasifu-ahl-ul-kitaab-wote/