Swali: Mimi ni mfanyabiashara na wakati mwingine najiwa na wateja ambapo nawapunguzia bei baadhi ya wateja na siwapunguzii wengine. Je, inafaa?
Jibu: Ikiwa hukuwadhulumu wengine kama mfano wa biashara ya sokoni, hakuna neno. Inafaa kuwapunguzia bei baadhi ya wateja na si lazima kuwapunguzia wote. Hakuna neno. Lakini haifai kuchukua bei ya ziada ya thamani inayouzwa masokoni.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (98) https://www.alfawzan.af.org.sa/ar/node/18006
- Imechapishwa: 18/05/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket