Swali: Ni ipi hukumu ya kuwapa zawadi watoto siku ya ´iyd kwa kuwa tumesikia baadhi ya watu wanasema kitendo hichi ni haramu kwa kuwa ni kujifananisha na makafiri?
Jibu: Hapana, sio haramu katika siku za ´iyd. Ni siku za furaha. Watoto wana haja ya ambaye atawafurahisha. Hakuna neno – Allaah akitaka.
Wamesema hili katika siku za ´Aashuuraa. Wamesema kuwa haijuzu kuifanya kuwa ni sikukuu na siku ya furaha. Hili halina msingi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-10-10.mp3
- Imechapishwa: 30/07/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kuwapa zawadi watoto siku ya ´iyd kwa kuwa tumesikia baadhi ya watu wanasema kitendo hichi ni haramu kwa kuwa ni kujifananisha na makafiri?
Jibu: Hapana, sio haramu katika siku za ´iyd. Ni siku za furaha. Watoto wana haja ya ambaye atawafurahisha. Hakuna neno – Allaah akitaka.
Wamesema hili katika siku za ´Aashuuraa. Wamesema kuwa haijuzu kuifanya kuwa ni sikukuu na siku ya furaha. Hili halina msingi.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-10-10.mp3
Imechapishwa: 30/07/2020
https://firqatunnajia.com/kuwapa-watoto-zawadi-siku-za-iyd/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)