Swali: Ni ipi hukumu ya kumwitikia salamu mpitanjia na ambaye sikumsikia kunitolea salamu lakini namwitikia kwa kumjengea dhana nzuri?
Jibu: Ukimsikia mwitkie na usipomsikia si lazima kwako kumwitikia.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (14) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=audioinfo&audioid=191634
- Imechapishwa: 03/04/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kumwitikia salamu mpitanjia na ambaye sikumsikia kunitolea salamu lakini namwitikia kwa kumjengea dhana nzuri?
Jibu: Ukimsikia mwitkie na usipomsikia si lazima kwako kumwitikia.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (14) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=audioinfo&audioid=191634
Imechapishwa: 03/04/2020
https://firqatunnajia.com/kuwaitikia-salamu-wapitanjia/