Swali: Je, adhaana ya kwanza siku ya Ijumaa ni Bid´ah na ni yapi maoni yako kwa mwenye kusema hivo?
Jibu: Kwa hivyo Makhaliyfah waongofu watakuwa ni watu wa Bid´ah. Kwa kuwa adhaana ilikuwepo katika zama za Khaliyfah wa tatu ´Uthmaan (Radhiya Allaahu ´anh), Muhaajiruun na Answaar. Kwa mujibu wa madai ya mjinga huyu[1] ina maana watakuwa watu wa Bid´ah.
[1] Tazama https://firqatunnajia.com/katika-masuala-haya-al-hajuuriy-ni-mjinga/
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1430-5-29.mp3
- Imechapishwa: 18/01/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)