160- Nilimuuliza baba yangu kuhusu mtu mwenye kufuta juu ya kilemba kisha akakivua ndani ya swalah. Akajibu:
“Atatakiwa kurudi kutawadha na swalah.”
- Muhusika: Imaam ´Abdullaah bin Ahmad bin Hanbal (kfk. 290)
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad (1/124)
- Imechapishwa: 08/02/2020
160- Nilimuuliza baba yangu kuhusu mtu mwenye kufuta juu ya kilemba kisha akakivua ndani ya swalah. Akajibu:
“Atatakiwa kurudi kutawadha na swalah.”
Muhusika: Imaam ´Abdullaah bin Ahmad bin Hanbal (kfk. 290)
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad (1/124)
Imechapishwa: 08/02/2020
https://firqatunnajia.com/kuvua-kilemba-alichopangusa-mtu-ndani-ya-swalah/