624- Nilimuuliza Ahmad juu ya mtu ambaye anafanyiwa chuku katika Ramadhaan. Akajibu:
“Ailipe siku hiyo.”
625- Nikamuuliza Ahmad juu ya funga ya mfanya chuku. Akajibu:
“Sipendelei ifanyike katika Ramadhaan. Ailipe siku hiyo.”
Nikamuuliza Ahmad vilevile kuhusu mwenye kufanya chuku katika Ramadhaan kama anatakiwa kuilipa siku hiyo. Akajibu:
“Ndio.”
- Muhusika: Imaam Abu Daawuud Sulaymaan bin al-Ash´ath as-Sijistaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad, uk. 130
- Imechapishwa: 23/03/2021
624- Nilimuuliza Ahmad juu ya mtu ambaye anafanyiwa chuku katika Ramadhaan. Akajibu:
“Ailipe siku hiyo.”
625- Nikamuuliza Ahmad juu ya funga ya mfanya chuku. Akajibu:
“Sipendelei ifanyike katika Ramadhaan. Ailipe siku hiyo.”
Nikamuuliza Ahmad vilevile kuhusu mwenye kufanya chuku katika Ramadhaan kama anatakiwa kuilipa siku hiyo. Akajibu:
“Ndio.”
Muhusika: Imaam Abu Daawuud Sulaymaan bin al-Ash´ath as-Sijistaaniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad, uk. 130
Imechapishwa: 23/03/2021
https://firqatunnajia.com/kuumikwa-katika-ramadhaan/