Swali: Ni ipi hukumu ya kutumia baadhi ya vidonge maalum vya kuzuia mimba kwa muda?
Jibu: Ikiwa kuna haja ya kufanya hivyo na haitasababisha madhara na jambo hilo likawa kwa ridhaa ya wanandoa wote wawili, basi hapana vibaya kufanya hivyo.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (21/196)
- Imechapishwa: 18/03/2026
Swali: Ni ipi hukumu ya kutumia baadhi ya vidonge maalum vya kuzuia mimba kwa muda?
Jibu: Ikiwa kuna haja ya kufanya hivyo na haitasababisha madhara na jambo hilo likawa kwa ridhaa ya wanandoa wote wawili, basi hapana vibaya kufanya hivyo.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (21/196)
Imechapishwa: 18/03/2026
https://firqatunnajia.com/kutumia-vidonge-vya-kuzuia-mimba-kwa-muda/