138 – Nilimuuliza Shaykh wetu kama kujisafisha kutokana na damu kunatosha kwa kutumia jiwe na mfano wake?

Jibu: Ndio, inavyoonekana ni sawa na kujisafisha baada ya kukojoa.

  • Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 65
  • Imechapishwa: 26/03/2025
  • Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´