Swali: Nilitawadha kwa ajili ya swalah na baada ya kutawadha kwa saa moja nikatokwa na chembechembe za maganda ya machungwa kwenye meno yangu. Sikuyajua hayo wakati nilipokuwa natawadha. Je, nirudi kutawadha upya?
Jibu: Hapana neno. Wudhuu´ wako ni sahihi.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (05) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191110#219240
- Imechapishwa: 11/09/2018
Swali: Nilitawadha kwa ajili ya swalah na baada ya kutawadha kwa saa moja nikatokwa na chembechembe za maganda ya machungwa kwenye meno yangu. Sikuyajua hayo wakati nilipokuwa natawadha. Je, nirudi kutawadha upya?
Jibu: Hapana neno. Wudhuu´ wako ni sahihi.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (05) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191110#219240
Imechapishwa: 11/09/2018
https://firqatunnajia.com/kutokwa-na-mabaki-ya-maganda-ya-chakula-kunaharibu-wudhuu/