Swali: Ni yapi maoni yako kwa watu ambao daima wanaapa Talaka kwenye ndimi zao, kwa kusema: “Ni juu yangu Talaka nikitimiza.” Na huenda akatimiza hilo na wakati mwingine huenda asitimize. Je, kwa hilo Talaka hupita?
Jibu: Akinuia kupita, inapita kwa Ijmaa´. Ama akinuia yamini; kama kufanya, kuhimiza au kukataza kitu, hapa wametofautiana wanachuoni na wengi wao wanaona kuwa inapita. Na kuna kundi linalosema kuwa haipiti, akiwemo Shaykh-ul-Slaam na wengineo wanaona hukumu yake ni kama ya yamini. Atatoa kafara ya yamini.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/2913
- Imechapishwa: 28/02/2018
Swali: Ni yapi maoni yako kwa watu ambao daima wanaapa Talaka kwenye ndimi zao, kwa kusema: “Ni juu yangu Talaka nikitimiza.” Na huenda akatimiza hilo na wakati mwingine huenda asitimize. Je, kwa hilo Talaka hupita?
Jibu: Akinuia kupita, inapita kwa Ijmaa´. Ama akinuia yamini; kama kufanya, kuhimiza au kukataza kitu, hapa wametofautiana wanachuoni na wengi wao wanaona kuwa inapita. Na kuna kundi linalosema kuwa haipiti, akiwemo Shaykh-ul-Slaam na wengineo wanaona hukumu yake ni kama ya yamini. Atatoa kafara ya yamini.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/2913
Imechapishwa: 28/02/2018
https://firqatunnajia.com/kutofautiana-kwa-wanachuoni-katika-kuapa-kwa-talaka/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket