Swali: Ni ipi hukumu ya kuadhini hali ya kutembea ili watu wengi waweze kuishuhudia na khaswa ikiwa ni nchikavu?
Jibu: Hakuna dalili ya hilo. Haifai kwetu kuzua kitu kutoka kwetu wenyewe. Anatakiwa kusimama wakati wa adhaana. Haifai kwake akatikisika. Haifai kwake akazunguka huku na kule.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (8) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–14340429.mp3
- Imechapishwa: 21/01/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket