Swali: Nilipomaliza kujisafisha nilitawadha kisha nikatoka chooni na nikavaa nguo zangu. Je, kitendo changu hichi ni sahihi? Kufunika vile viungo visivyotakiwa kuonekana sio sharti katika kusihi kwa wudhuu´?
Jibu: Wudhuu´ wako ni sahihi. Kufunika vile viungo visivyotakiwa kuonekana sio sharti katika kusihi kwa wudhuu´.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (10/101)
- Imechapishwa: 13/08/2021
Swali: Nilipomaliza kujisafisha nilitawadha kisha nikatoka chooni na nikavaa nguo zangu. Je, kitendo changu hichi ni sahihi? Kufunika vile viungo visivyotakiwa kuonekana sio sharti katika kusihi kwa wudhuu´?
Jibu: Wudhuu´ wako ni sahihi. Kufunika vile viungo visivyotakiwa kuonekana sio sharti katika kusihi kwa wudhuu´.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (10/101)
Imechapishwa: 13/08/2021
https://firqatunnajia.com/kutawadha-uchi/