Swali: Baadhi ya maimamu huanza kuswali Tarawiyh kabla ya kutangazwa kuandama kwa mwezi. Ni ipi hukumu ya kitendo hichi?
Jibu: Ni jambo lisilotakikana. Tarawiyh imesuniwa katika Ramadhaan. Haitakikani kwa yeyote kuiswali mpaka mahakama itangaze kuonekana kwa mwezi mwandamo.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (30/26)
- Imechapishwa: 08/05/2020
Swali: Baadhi ya maimamu huanza kuswali Tarawiyh kabla ya kutangazwa kuandama kwa mwezi. Ni ipi hukumu ya kitendo hichi?
Jibu: Ni jambo lisilotakikana. Tarawiyh imesuniwa katika Ramadhaan. Haitakikani kwa yeyote kuiswali mpaka mahakama itangaze kuonekana kwa mwezi mwandamo.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (30/26)
Imechapishwa: 08/05/2020
https://firqatunnajia.com/kuswali-tarawiyh-kabla-ya-kutangazwa-kwa-mwezi-mwandamo/