Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Swali kwa kusimama. Usipoweza, kwa kukaa. Usipoweza, kwa ubavu.”[1]
Ni vipi mtu anaswali kwa kulalia ubavu? Ni lazima iwe kwa ubavu wa kulia?
Jibu: Ndio, bora ni kwa upande wa kulia. Asipoweza kufanya hivo, alale kwa upande wa kushoto. Hakuna neno. Hata hivyo uso unatakiwa kuuelekeza upande wa Ka´bah.
[1] al-Bukhaariy (1117).
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (12) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdah%20Fiqh-19-10-1434_0.mp3
- Imechapishwa: 17/09/2017
Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Swali kwa kusimama. Usipoweza, kwa kukaa. Usipoweza, kwa ubavu.”[1]
Ni vipi mtu anaswali kwa kulalia ubavu? Ni lazima iwe kwa ubavu wa kulia?
Jibu: Ndio, bora ni kwa upande wa kulia. Asipoweza kufanya hivo, alale kwa upande wa kushoto. Hakuna neno. Hata hivyo uso unatakiwa kuuelekeza upande wa Ka´bah.
[1] al-Bukhaariy (1117).
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (12) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdah%20Fiqh-19-10-1434_0.mp3
Imechapishwa: 17/09/2017
https://firqatunnajia.com/kuswali-kwa-kulalia-ubavu/