Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kuswali faradhi nyuma ya ambaye anaswali swalah ya Sunnah kama mfano wa yule anayeswali ´ishaa nyuma ya anayeswali Tarawiyh?
Jibu: Hakuna neno kuswali ´ishaa nyuma ya anayeswali Tarawiyh. Imaam Ahmad (Rahimahu Allaah) amesimulia hilo. Akiwa ni msafiri na akajiunga na imamu mwanzoni mwa swalah atatoa Tasliym pamoja naye. Vinginevyo atakamilisha Rak´ah zilizobaki pale imamu atapotoa Tasliym.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (12/444)
- Imechapishwa: 23/07/2017
Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kuswali faradhi nyuma ya ambaye anaswali swalah ya Sunnah kama mfano wa yule anayeswali ´ishaa nyuma ya anayeswali Tarawiyh?
Jibu: Hakuna neno kuswali ´ishaa nyuma ya anayeswali Tarawiyh. Imaam Ahmad (Rahimahu Allaah) amesimulia hilo. Akiwa ni msafiri na akajiunga na imamu mwanzoni mwa swalah atatoa Tasliym pamoja naye. Vinginevyo atakamilisha Rak´ah zilizobaki pale imamu atapotoa Tasliym.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (12/444)
Imechapishwa: 23/07/2017
https://firqatunnajia.com/kuswali-ishaa-nyuma-ya-anayeswali-tarawiyh/