211 – Nilimuuliza Shaykh wetu kuhusu Hadiyth ya ‘Utbaan bin Maalik (Radhiya Allaahu ´anh)[1] nambari (1186) kama kunachukuliwa kutoka humo usuniwaji wa kuswali Dhuhaa kwa pamoja?
Jibu: Ndiyo, katika nyumba.
212 – Mtu mwingine akamuuliza kama inafaa kufanya hivo msikitini?
Jibu: Inaweza kutokea kufahamiana makosa, kwa sababu inafanana na swalah ya faradhi.
[1] Nilimuuliza Shaykh wetu Ibn ´Uthaymiyn ´Unayzah kuhusu Hadiyth ya Ibn Umm Maktuum kwamba hakumpa idhini ya kuacha swalah ya mkusanyiko, hata hivyo akampa idhini ´Utbaan? Akajibu: ”Ibn Umm Maktuum anasikia adhaana, lakini hali siyo hivo kwa ´Utbaan.”
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 90
- Imechapishwa: 01/05/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket