Swali 169: Je, mtu atosheke katika Khutbah ya ijumaa kusoma Suurah ”Qaaf” kutokana na Hadiyth iliyopokelewa?
Jibu: Hakuna kizuizi. Hadiyth inaashiria hivyo.
Swali 170: Je, mtu anaweza kusema kuhusu mtu anayesoma ”Qaaf” peke yake katika Khutbah siku ya ijumaa kuwa ni Sunnah?
Jibu: Ndio.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 74
- Imechapishwa: 03/04/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)