Swali: Je, inajuzu kusoma kwa sauti katika Swalah za kusomwa kwa siri?
Jibu: Kujuzu inajuzu, lakini kusoma kwa siri ni bora. Wakati fulani alikuwa akisoma kwa sauti, anasoma kwa sauti Aayah. Lakini mara nyingi, alikuwa akisoma kwa siri (´alayhis-Swalaatu was-Salaam). Hii ndio Sunnah. Alikuwa akisoma kwa siri kama katika Swalah ya Dhuhr na ´Aswr, lakini kusoma kwa sauti katika baadhi ya nyakati, hivi ndio bora.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Nuur ´alaad-Darb
- Imechapishwa: 24/03/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)