Swali: Imewekwa katika Shari´ah kusoma Suurah “al-Kahf” jioni ya alkhamisi?
Jibu: Ndio. Japo Hadiyth zina udhaifu, lakini zinapeana nguvu. Kwa hivyo inaweza kusomwa jioni ya alkhamisi na pia siku ya ijumaa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (13) http://alfawzan.af.org.sa/sites/de
- Imechapishwa: 30/09/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket