Swali: Ni ipi hukumu ya kufanya siku maalum kwa wiki kwa ajili ya kutembelea makaburi ya ndugu?
Jibu: Asifanye siku maalum, si ijumaa wala siku nyingine. Asikariri matembezi mara kwa mara. Kunapopita muda atembelee kaburi la ndugu yake na kumuombea du´aa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (55) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/16503
- Imechapishwa: 23/09/2017
Swali: Ni ipi hukumu ya kufanya siku maalum kwa wiki kwa ajili ya kutembelea makaburi ya ndugu?
Jibu: Asifanye siku maalum, si ijumaa wala siku nyingine. Asikariri matembezi mara kwa mara. Kunapopita muda atembelee kaburi la ndugu yake na kumuombea du´aa.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (55) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/16503
Imechapishwa: 23/09/2017
https://firqatunnajia.com/kusifanywe-siku-maalum-kwa-ajili-ya-kuyatembelea-makaburi/