Swali 14: Ni ipi hukumu ya kushutama ambako kumefanana na Rukuu´ katika baadhi ya michezo kukiwemo karate? Kabla ya mechi kuanza wachezaji wanasimama hawa mbele ya hawa kisha wanainama kwa njia ya kusalimiana.
Jibu: Haijuzu kufanya hivo. Hii ni dhambi kubwa. Anajikurubisha kwake kwa taadhima kama hii kubwa. Hii ni shirki kubwa. Mtu kama huyo anatakiwa kufunzwa.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: ash-Sharh al-Mumtaaz, uk. 33
- Imechapishwa: 28/09/2018
Swali 14: Ni ipi hukumu ya kushutama ambako kumefanana na Rukuu´ katika baadhi ya michezo kukiwemo karate? Kabla ya mechi kuanza wachezaji wanasimama hawa mbele ya hawa kisha wanainama kwa njia ya kusalimiana.
Jibu: Haijuzu kufanya hivo. Hii ni dhambi kubwa. Anajikurubisha kwake kwa taadhima kama hii kubwa. Hii ni shirki kubwa. Mtu kama huyo anatakiwa kufunzwa.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: ash-Sharh al-Mumtaaz, uk. 33
Imechapishwa: 28/09/2018
https://firqatunnajia.com/kushutama-kwa-wachezi-karate/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket