Kuhusu upokezi wa Burd bin Sinaan kutoka kwa Mak-huu, amesimulia:
88 – Abu Sahl bin Ziyaad ametuhadithia: al-´Umariy ametuhadithia: Nilimsikia ´Ammaar bin Abiy Shaybah akisema: Jariyr ametuhadithia: Kutokana na ninavojua ameipokea kutoka kwa Burd na Abul-´Alaa’ ash-Shaamiy, kutoka kwa Mak-huul, kutoka kwa Ka´b ambaye amesema:
“Allaah (´Azza wa Jall) hutazama viumbe Wake katika kila usiku wa nusu Sha´baan ambapo akawasamehe wote isipokuwa mshirikina au mwenye chuki.”
- Muhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 168
- Imechapishwa: 09/05/2020
Kuhusu upokezi wa Burd bin Sinaan kutoka kwa Mak-huu, amesimulia:
88 – Abu Sahl bin Ziyaad ametuhadithia: al-´Umariy ametuhadithia: Nilimsikia ´Ammaar bin Abiy Shaybah akisema: Jariyr ametuhadithia: Kutokana na ninavojua ameipokea kutoka kwa Burd na Abul-´Alaa’ ash-Shaamiy, kutoka kwa Mak-huul, kutoka kwa Ka´b ambaye amesema:
“Allaah (´Azza wa Jall) hutazama viumbe Wake katika kila usiku wa nusu Sha´baan ambapo akawasamehe wote isipokuwa mshirikina au mwenye chuki.”
Muhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 168
Imechapishwa: 09/05/2020
https://firqatunnajia.com/kushuka-kwa-allaah-usiku-wa-nusu-ya-shabaan-kupitia-upokezi-wa-kathiyr-bin-murrah-al-hadhwramiy-06/