84 – Ahmad bin Muhammad bin Yuusuf ametuhadithia, kutoka kwa Ibn Ziyaad: al-Hasan bin ´Aliy bin Shabiyb ametuhadithia: Nilimsikia Muhammad bin Khalaf al-´Asqalaaniy akisema: Muhammad bin Yuusuf ametuhadithia, kutoka kwa Ibn Thawbaan, kutoka kwa baba yake, kutoka kwa Makh-uul, kutoka kwa Khaalid bin Ma´daan, kutoka kwa Kathiyr bin Murrah ambaye amesema:
“Kila usiku wa nusu Sha´baan Allaah (´Azza wa Jall) huwatazama watu wa ardhini ambapo akawasamehe isipokuwa mshirikina au mwenye chuki.”
- Muhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 166
- Imechapishwa: 09/05/2020
- Taaliki: ´Allaamah ´Aliy bin Naaswir al-Faqiyhiy
84 – Ahmad bin Muhammad bin Yuusuf ametuhadithia, kutoka kwa Ibn Ziyaad: al-Hasan bin ´Aliy bin Shabiyb ametuhadithia: Nilimsikia Muhammad bin Khalaf al-´Asqalaaniy akisema: Muhammad bin Yuusuf ametuhadithia, kutoka kwa Ibn Thawbaan, kutoka kwa baba yake, kutoka kwa Makh-uul, kutoka kwa Khaalid bin Ma´daan, kutoka kwa Kathiyr bin Murrah ambaye amesema:
“Kila usiku wa nusu Sha´baan Allaah (´Azza wa Jall) huwatazama watu wa ardhini ambapo akawasamehe isipokuwa mshirikina au mwenye chuki.”
Muhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 166
Imechapishwa: 09/05/2020
Taaliki: ´Allaamah ´Aliy bin Naaswir al-Faqiyhiy
https://firqatunnajia.com/kushuka-kwa-allaah-usiku-wa-nusu-ya-shabaan-kupitia-upokezi-wa-kathiyr-bin-murrah-al-hadhwramiy-03/