80- Ahmad bin Muhammad bin Ziyaad ametuhadithia: Hasan bin ´Aliy bin Shabiyb ametuhadithia: Nilimsikia ´Amr bin ´Uthmaan akisema: Muhammad bin Harb ametuhadithia: al-Ahwas bin Hakiym ametuhadithia, kutoka kwa al-Muhaajir[1] bin Habiyb, kutoka kwa Abu Tha´labah al-Khushaniy aliyeeleza kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Allaah (´Azza wa Jall) huwatazama waja Wake katika kila usiku wa nusu Sha´baan ambapo akawasamehe waumini, akawapa muhula makafiri na akawaacha wenye chuki na chuki zao mpaka waachane nazo.”
[1] al-Albaaniy amesema:
”Imetajwa Muhaajir lakini inatakiwa iwe Muhaasir. Ni kosa la uandishi na huja mara nyingi jina hili.” (as-Sunnah (511) ya Ibn Abiy ´Aaswim)
- Muhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 160
- Imechapishwa: 04/05/2020
- Taaliki: ´Allaamah ´Aliy bin Naaswir al-Faqiyhiy
80- Ahmad bin Muhammad bin Ziyaad ametuhadithia: Hasan bin ´Aliy bin Shabiyb ametuhadithia: Nilimsikia ´Amr bin ´Uthmaan akisema: Muhammad bin Harb ametuhadithia: al-Ahwas bin Hakiym ametuhadithia, kutoka kwa al-Muhaajir[1] bin Habiyb, kutoka kwa Abu Tha´labah al-Khushaniy aliyeeleza kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Allaah (´Azza wa Jall) huwatazama waja Wake katika kila usiku wa nusu Sha´baan ambapo akawasamehe waumini, akawapa muhula makafiri na akawaacha wenye chuki na chuki zao mpaka waachane nazo.”
[1] al-Albaaniy amesema:
”Imetajwa Muhaajir lakini inatakiwa iwe Muhaasir. Ni kosa la uandishi na huja mara nyingi jina hili.” (as-Sunnah (511) ya Ibn Abiy ´Aaswim)
Muhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 160
Imechapishwa: 04/05/2020
Taaliki: ´Allaamah ´Aliy bin Naaswir al-Faqiyhiy
https://firqatunnajia.com/kushuka-kwa-allaah-usiku-wa-nusu-ya-shabaan-kupitia-upokezi-wa-abu-thalabah-al-khusaaniy-03/