78- Abu Ja´far Muhammad bin Sulaymaan bin Muhammad an-Nu´maaniy ametuhadithia: ´Abdullaah bin ´Abdis-Swamad bin Abiy Khidaa ametuhadithia: ´Iysaa bin Yuunus ametuhadithia, kutoka kwa al-Ahwas bin Hakiym, kutoka kwa Habiyb bin Suhayb, kutoka kwa Abu Tha´labah al-Khushaniy ambaye ameeleza kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Allaah (´Azza wa Jall) huwatazama waja Wake katika kila usiku wa nusu Sha´baan ambapo akawasamehe waumini, akawapa muhula makafiri na akawaacha wenye chuki na chuki zao mpaka waachane nazo.”[1]
[1] as-Sunnah (511) ya Ibn Abiy ´Aaswim. Shaykh al-Albaaniy amesema:
“Hadiyth ni Swahiyh na wapokezi wake ni waaminifu isipokuwa al-Ahwas bin Hakiym ambaye hifadhi yake ni nyonge, kama ilivyotajwa katika “at-Taqriyb”. Inaweza kutumiwa kwa lengo la shawahidi ambapo inatiliwa nguvu na njia zinazokuja mbele na mapokezi yaliyotangulia na mengine yatayotajwa.”
- Muhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 159-160
- Imechapishwa: 04/05/2020
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
78- Abu Ja´far Muhammad bin Sulaymaan bin Muhammad an-Nu´maaniy ametuhadithia: ´Abdullaah bin ´Abdis-Swamad bin Abiy Khidaa ametuhadithia: ´Iysaa bin Yuunus ametuhadithia, kutoka kwa al-Ahwas bin Hakiym, kutoka kwa Habiyb bin Suhayb, kutoka kwa Abu Tha´labah al-Khushaniy ambaye ameeleza kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Allaah (´Azza wa Jall) huwatazama waja Wake katika kila usiku wa nusu Sha´baan ambapo akawasamehe waumini, akawapa muhula makafiri na akawaacha wenye chuki na chuki zao mpaka waachane nazo.”[1]
[1] as-Sunnah (511) ya Ibn Abiy ´Aaswim. Shaykh al-Albaaniy amesema:
“Hadiyth ni Swahiyh na wapokezi wake ni waaminifu isipokuwa al-Ahwas bin Hakiym ambaye hifadhi yake ni nyonge, kama ilivyotajwa katika “at-Taqriyb”. Inaweza kutumiwa kwa lengo la shawahidi ambapo inatiliwa nguvu na njia zinazokuja mbele na mapokezi yaliyotangulia na mengine yatayotajwa.”
Muhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 159-160
Imechapishwa: 04/05/2020
Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/kushuka-kwa-allaah-usiku-wa-nusu-ya-shabaan-kupitia-upokezi-wa-abu-thalabah-al-khusaaniy/