76 – Abu Bakr an-Naysaabuuriy ametuhadithia: Yuunus bin ´Abdil-A´laa ametuhadithia: ´Abdullaah bin Wahb ametuhadithia: ´Amr bin al-Haarith amenikhabarisha, kutoka kwa ´Abdul-Malik bin ´Abdil-Malik, kutoka kwa al-Musw´ab bin Abiy Dhi’b, kutoka kwa al-Qaasim bin Muhammad, kutoka kwa baba yake au ami yake, kutoka kwa babu yake, kutoka kwa Abu Bakr ambaye ameeleza kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Allaah (´Azza wa Jall) anashuka kwenye usiku wa nusu Sha´baan katika mbingu ya chini na akamsamehe kila mtu isipokuwa kafiri au mtu ambaye moyoni mwake mna chuki.”
- Mhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 157
- Imechapishwa: 02/05/2020
76 – Abu Bakr an-Naysaabuuriy ametuhadithia: Yuunus bin ´Abdil-A´laa ametuhadithia: ´Abdullaah bin Wahb ametuhadithia: ´Amr bin al-Haarith amenikhabarisha, kutoka kwa ´Abdul-Malik bin ´Abdil-Malik, kutoka kwa al-Musw´ab bin Abiy Dhi’b, kutoka kwa al-Qaasim bin Muhammad, kutoka kwa baba yake au ami yake, kutoka kwa babu yake, kutoka kwa Abu Bakr ambaye ameeleza kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Allaah (´Azza wa Jall) anashuka kwenye usiku wa nusu Sha´baan katika mbingu ya chini na akamsamehe kila mtu isipokuwa kafiri au mtu ambaye moyoni mwake mna chuki.”
Mhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 157
Imechapishwa: 02/05/2020
https://firqatunnajia.com/kushuka-kwa-allaah-usiku-wa-nusu-ya-shabaan-kupitia-upokezi-wa-abu-bakr-as-swiddiyq-02/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)