75- Abu Bakr ´Abdullaah bin Sulaymaan bin al-Ash´ath ametuhadithia: Ahmad bin Swaalih ametuhadthia, kutoka kwa ´Abdullaah bin Wahb: ´Amr bin al-Haarith amenikhabarisha, kutoka kwa ´Abdul-Malik bin ´Abdil-Malik, kutoka kwa al-Musw´ab bin Abiy Dhi’b, kutoka kwa al-Qaasim bin Muhammad, kutoka kwa baba yake au ami yake, kutoka kwa baba yake, kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliyesema:
“Allaah (´Azza wa Jall) anashuka kwenye usiku wa nusu Sha´baan katika mbingu ya chini na akamsamehe kila mmoja isipokuwa mtu ambaye moyoni mwake mna chuki au kumshirikisha Allaah.” [1]
[1] as-Sunnah (509) ya Ibn Abiy ´Aaswim. Shaykh al-Albaaniy amesema:
”Hadiyth ni Swahiyh lakini cheni ya wapokezi wake ni dhaifu kwa sababu ya ´Abdul-Maalik bin ´Abdil-Maalik na al-Musw´ab bin Abiy Dhi´b ambao hawajulikani… Hata hivyo nimeisahihisha Hadiyth kwa sababu imepokelewa kutoka kwa Maswahabah wengine wanane. Hadiyth imekaguliwa katika “as-Swahiyhah” (1144).”
- Muhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 153-154
- Imechapishwa: 30/04/2020
- Taaliki: ´Allaamah ´Aliy bin Naaswir al-Faqiyhiy
75- Abu Bakr ´Abdullaah bin Sulaymaan bin al-Ash´ath ametuhadithia: Ahmad bin Swaalih ametuhadthia, kutoka kwa ´Abdullaah bin Wahb: ´Amr bin al-Haarith amenikhabarisha, kutoka kwa ´Abdul-Malik bin ´Abdil-Malik, kutoka kwa al-Musw´ab bin Abiy Dhi’b, kutoka kwa al-Qaasim bin Muhammad, kutoka kwa baba yake au ami yake, kutoka kwa baba yake, kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliyesema:
“Allaah (´Azza wa Jall) anashuka kwenye usiku wa nusu Sha´baan katika mbingu ya chini na akamsamehe kila mmoja isipokuwa mtu ambaye moyoni mwake mna chuki au kumshirikisha Allaah.” [1]
[1] as-Sunnah (509) ya Ibn Abiy ´Aaswim. Shaykh al-Albaaniy amesema:
”Hadiyth ni Swahiyh lakini cheni ya wapokezi wake ni dhaifu kwa sababu ya ´Abdul-Maalik bin ´Abdil-Maalik na al-Musw´ab bin Abiy Dhi´b ambao hawajulikani… Hata hivyo nimeisahihisha Hadiyth kwa sababu imepokelewa kutoka kwa Maswahabah wengine wanane. Hadiyth imekaguliwa katika “as-Swahiyhah” (1144).”
Muhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 153-154
Imechapishwa: 30/04/2020
Taaliki: ´Allaamah ´Aliy bin Naaswir al-Faqiyhiy
https://firqatunnajia.com/kushuka-kwa-allaah-usiku-wa-nusu-shabaan-kupitia-mapokezi-ya-abu-bakr-as-swiddiyq/