51 – Muhammad bin Sahl ametuhadithia: Muhammad bin Yuusuf bin Sa´d ametuhadithia: Usayd bin ´Aaswim ametuhadithia: ´Aamir bin Ibraahiym al-Aswbahaaniy ametuhadithia: Ya´quub bin ´Abdillaah at-Tamiymiy ametuhadithia, kutoka kwa Abu Rib´iy, kutoka kwa al-A´mash, kutoka kwa Abu Swaalih, kutoka kwa Abu Hurayrah ambaye amesema:
“Allaah (´Azza wa Jall) hushuka kwenye mbingu ya dunia katika ile theluthi yenye kubaki ya mwisho na anasema: ”Je, kuna mwenye kuomba msamaha nimsamehe? Je, kuna mwenye kuomba nimpe? Je, kuna mgonjwa nimponye?”
- Muhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 129-130
- Imechapishwa: 10/03/2020
51 – Muhammad bin Sahl ametuhadithia: Muhammad bin Yuusuf bin Sa´d ametuhadithia: Usayd bin ´Aaswim ametuhadithia: ´Aamir bin Ibraahiym al-Aswbahaaniy ametuhadithia: Ya´quub bin ´Abdillaah at-Tamiymiy ametuhadithia, kutoka kwa Abu Rib´iy, kutoka kwa al-A´mash, kutoka kwa Abu Swaalih, kutoka kwa Abu Hurayrah ambaye amesema:
“Allaah (´Azza wa Jall) hushuka kwenye mbingu ya dunia katika ile theluthi yenye kubaki ya mwisho na anasema: ”Je, kuna mwenye kuomba msamaha nimsamehe? Je, kuna mwenye kuomba nimpe? Je, kuna mgonjwa nimponye?”
Muhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 129-130
Imechapishwa: 10/03/2020
https://firqatunnajia.com/kushuka-kwa-allaah-kupitia-upokezi-wa-abu-hurayrah-39/